Ucc Saccos

MKUTANO WA   UCC  SACCOS     FEB  08   2014





















Katibu  wa  Saccos   Ndg:  Ali Juma    akifafanua  jambo    mkutanoni.
Meza  kuu  ikifuatilia  taarifa   mbalimbali  mkutanoni  kwa  umakini.
  Sehemu  ya   Wanachama    mkutanoni.
Duu    Wadau  wa  Saccos  wakiwa    makini  kufuatilia  maelezo  toka  kwa  viongozi.
  Sehemu  ya  wanachama  wakifuatilia    agenda  mkutanoni.
Ukizungumzia  Saccos  hapa  unazungumzia  kuhusu    pesa  na  wana  saccos  tuna msemo  tunasema " Pamoja   Tunajenga  Uchumi"  tizama  mwanachama  akihakiki   tarakimu  za  taarifa  ya  pesa kwa  ukaribu  zaidi.
Kikao  kikiwa  kinaendelea....
Sehemu  ya    meza  kuu  (  viongozi  na  wageni  waalikwa )   wakijadili      na  kutoa  ufafanuzi  wa  hoja  za wanachama.
   Sehemeu ya  wanachama  wakifuatilia    hoja   mkutanoni.
Kama  kawaida  ya mikutano  ya  Saccos  Vinywaji  ni  sehemu   ya  mkutano.
Blogger  naye    akifuatilia  mkutano.


Baadhi  ya wagombea  wa  nafasi  ya  mjumbe  wa  bodi    wakiomba   nafasi  ya  kuchaguliwa   toka kwa wanachama.

Gideon   akiomba  kura    ya  nafasi  ya  ujumbe wa  bodi,   kura  hazikutosha  kumwezesha  kupata  nafasi  hiyo, Kaka    usikate    tamaa  jaribu  tena   wakati  mwingine.
Baada  ya  kikao  , wanachama  na  wageni  waalikwa  wanapokea  " Bahasha  ya  kaki"  au  mkono  wa  kwaheri.
Mzee  Edson  Kisabo  akiomba  kura  , Mzee  anajieleza  huyu  ,  baadaye  nafasi  akaipata ,  Hongera  Mzee  kwa  nafasi    ujumbe  wa  Bodi.
Duuu " Ku-  sign "  ni  raha    Mdau  Rasul    kama  vile  anasema  maneno  hayo.
NAPE     akipokea  bahasha  ya  kaki.
Blogger    naye     akichukua  kilicho  chake......  weekend    lainiiiii .....
  Urassa, Muze  na  Gwesso  wakijadili  jambo    baada  ya  kikao.
   Kura   zikihesabiwa....
Ofisa  toka  ofisi  ya  mrajisi  wa vyama  vya  ushirika  wilaya  ya  Kinondoni Ndg:  Omary  Mkamba (wa  kwanza  kushoto)   akitoa  maelezo  ya  namna   uchaguzi  utakavyoendeshwa  wengine  ni   Prudence    Ongera   (ambaye  alifanikiwa  kunyakua  nafasi  ya  uenyekiti  kwa  kupata   kura  30   kati  ya  31  zilizopigwa (na  kuna  fununu  kuwa hiyo  moja  ilitoka  kwake,hivyo ikionyesha  jinsi  wanachama  walivyo  na  imani  na  mwenyekiti  huyo  mpya),   Mzee  Mhango, Ally  Juma  ( Nape),  Kissiva  na  Mzee  Kisabo.    

No comments:

Post a Comment