Friday, February 7, 2014

Hafla ya Kuwakaribisha Wanafunzi wapya muhula mpya Feb - June 2014 Yafanyika Mbezi Branch.


UCC  leo  imezindua  rasmi  kuanza  kwa    masomo   ya  muhula  wa  kwanza  wa  masomo  Feb -  June  2014   katika  hafla (Orientation)  iliyofanyika  katika  ukumbi    wa    maktaba   tawi  la  Mbezi  Beach, zaidi  ya  wanafunzi  wapya  wapatao 300  wamehudhuria
 Principal Training  Services/ Manager  Operations  Dr  Geofrey  Karokola  akiwakaribisha   sehemu  ya  wanafunzi  wapya , pembeni  ni  meneja wa  tawi la  Mbezi  Mr Antony  Karokola.
Picha  ya  pamoja  baadhi  ya  wafanyakazi  wa  UCC    na  wanafunzi    wapya .

 Mr Antony Karokola  akitoa  utambulisho   kwa  wanafunzi.
Sehemu  ya  wanafunzi  wapya  kwa   umakini  wakifuatilia  maelekezo.

Picha   zaidi ......






No comments:

Post a Comment